1 Peter 2:22-24


22 a“Yeye hakutenda dhambi,
wala hila haikuonekana kinywani mwake.”

23 bYeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa yeye ahukumuye kwa haki. 24 cYeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, ili tufe kwa mambo ya dhambi, bali tupate kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi mmeponywa.
Copyright information for SwhKC